Huduma zetu

 

🛠️ 2. HUDUMA ZETU

Tunatoa huduma zifuatazo:

  1. WiFi Routers

    • Tunauza routers bora kwa matumizi ya nyumbani, ofisini au biashara.

    • Ushauri wa router ipi inafaa kwa matumizi yako.

  2. Installation ya Internet

    • Tunafunga mitandao ya intaneti kwa usalama na ufanisi.

    • Installation ya routers, repeaters, access points n.k.

  3. Tech Support

    • Tunaweza kusaidia kwa matatizo ya vifaa au mtandao.

    • Usafishaji wa simu, kompyuta na settings za router.

  4. LIPA NAMBA BURE

    • Tunakusaidia kufungua LIPA NAMBA kwa biashara yako bila gharama.

    • Inakusaidia kurahisisha malipo kwa wateja.

  5. Till za Mawakala

    • Tunasaidia wakala wa mitandao (Vodacom, Airtel, Tigo n.k) kuanzisha au kuendeleza biashara yao.

  6. Sajili Laini Mpya

    • Tunatoa huduma ya usajili wa laini kwa haraka na kwa usalama.

    • Pia tunasaidia kurudisha laini iliyopotea.

  7. Mikopo ya Simu Aina Zote

    • Unahitaji simu kwa mkopo? Tunakusaidia kupata simu bora kwa masharti nafuu.

    • Mfumo salama wa marejesho.

Post a Comment

0 Comments